Quantcast
Channel: mwanamke – Tanzlife – Tanzanian's best Health Blog & Forum
Browsing all 6 articles
Browse latest View live

SABABU ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO

Moja ya matatizo yaliyoko katika jamii zetu na yamesababisha wanandoa wengi au wanawake wengi kukosa furaha, ni kukosa uwezo wa kupata ujauzito kwa mwanamke. Sote tunafahamu kuwa, swala la mwanamke...

View Article



HOMONI ZA MWANAMKE NA AFYA YA KINYWA

Homoni (Hormones) ni kemikali asilia ambazo huzalishwa ndani ya mwili wa binadamu na kusafirishwa kwa njia ya damu na kusambazwa mwilini ili kutawala mifumo mbalimbali ndani ya mwili na kuufanya mwili...

View Article

HALI YA MWANAMKE KUOTA NDEVU

Kutokana na asili katika uumbaji pamoja na ambavyo sisi wanadamu tumezoea kuona, ni kwamba ni jambo la kawaida kwa mwanamme kuota ndevu. Lakini endapo ndevu zitaonekana zimeota kwa mwanamke, basi kwa...

View Article

MWANAMKE KUWA NA UJAUZITO FEKI “PHANTOM OR FALSE PREGNANCY”

Asili ya binadamu katika kupata ujauzito ni matokeo ya muunganiko wa mbegu (sperms) kutoka kwa mwanamme na yai (ovum) kutoka kwa mwanamke ndipo urutubishwaji hutokea na ujauzito halisi huanzia hapo....

View Article

ZIJUE SABABU ZA WAJAWAZITO KUWA HATARINI ZAIDI KUUGUA MALARIA KULIKO WATU...

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vijidudu ambavyo kitaalam hujulikana kwa jina la plasmodium, jamii hii ya wadudu imegawanyika katika makundi tofauti tofauti na kundi ambalo hasa hasa husababisha...

View Article


MATATIZO YA URIC ACID MWILINI

  Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinaweza kufanya kazi kwa ufasaha kutegemeana na taarifa ambazo zinasafirishwa kutoka katika ubongo na kupelekwa katika kiungo...

View Article
Browsing all 6 articles
Browse latest View live




Latest Images